Easy Bingo ni mchezo wa kila siku wa kubashiri namba kupitia tiketi zinazotolewa na mashine za Premier Betting.
Easy 1. Kubashiri namba moja katika namba tano za mwanzo katika droo, 1:10
Ikiwa utabashiria kiasi cha sh.800 una nafasi ya kujishindia Tsh.8,000.
Easy 2. Kubashiri namba mbili katika namba tano za mwanzo katika droo, 1:200.
Ikiwa utabashiria kiasi cha sh. 800 una nafasi ya kujishindia 160,000.
Easy 3. Kubashiri namba tatu katika namba tano za mwanzo kutoka katika droo,1:2,000
Ikiwa utabashiria kiasi cha 800 una nafasi ya kujishindia 1,600,000.
Easy 4. Kubashiri namba nne, katika namba tano za mwanzo katika droo 1:5000
Ikiwa utabashiria kiasi cha sh.800 una nafasi ya kujishindia Tsh 4,000,000
Easy 5.Kubashiri namba tano za mwanzo kutoka katika droo 1:50,000
Ikiwa utabashiria kiasi cha sh.800, utajishindia 40,000,000.
Droo za Premeir Betting
Droo za Premier Betting zitakazotoa namba za ushindi, zitakuwa zikifanyika kila siku saa kumi na mbili jioni. Katika Premeir Games Center, mtaa wa Sukuma karibu kabisa na Soko Kuu la Kariakoo.
Taarifa za ushindi
Taarifa za ushindi unaweza kuzipata kwa kila wakala wa Premier Betting. Au unaweza kutuma ujumbe mfupi kwenda namba 0764 700777. (Andika bingo kisha tarehe na mwezi uliocheza kwa mfano Bingo 0303#)
Malipo ya zawadi
Unaweza kupata zawadi yako kutoka kwa wakala yeyote aliyeishinishwa au fika katika ofisi za Premier Betting zilizopo katika Mtaa wa Sukuma katibu kabisa na Soko la Kariakoo jijini Dar es salaam.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na wakala wa PREMIER BETTING au Entertainment Africa LTD
PO BOX 15127
Kariakoo, Dar es salaam
Simu: 0764 700700
Fax: 022 2182121
No comments:
Post a Comment