Friday, July 9, 2010

Mkutano wa mawakala/ Premier Betting Vendors meeting


Katika kuelekea uzinduzi wake. Kampuni ya Premier Betting iliamua kuwakutanisha mawakala wake na kujadili maswala mbali yanayohusiana na kampuni yao.

Mkutano huo ulifanyika jijini Dar es salaam ambapo ulihudhuriwa na mawakala wapatao 150, na wafanyakazi wa Kampuni.

Pamoja na shughuli mbalimbali zilizofanyika katika mkutano huo, Meneja mauzo wakampuni hiyo alichukua nafasi hiyo kutangaza Gervas Benedict kama wakala bora tangu kuanzishwa kwa kampuni.

Wakala huyo aliweza kuingizia kampuni zaidi ya sh. mil 10 na pia kujiingizia faida isiyopungua sh.laki 6. kutokana na mauzo ya tiketi na pia utoaji wa zawadi kwa shindi.

No comments:

Post a Comment